Mpendwa Mzee Amedeus Mwangoka,Baba mzazi wa mwenye Blog hii ametutoka ghafla Kibosho Hospital-Moshi, usiku wa Jumatatu 23/03/2009. Mazishi yanafanyika leo Jumamosi 28/03/2009 nyumbani Kilingi-Sanya Juu Kilimanjaro. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa Amani.Amina.
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako