Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja nilishindwa kuwaletea habari na burudani kupitia blog yenu ya KARIBU NYUMBANI kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Nawashukuru kwa uvumilivu wenu na karibuni tena nyumbani.
T U L I K O T O K A N I M B A L I
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
9 minutes ago

Ni furaha umerudi nawe karibu tena
ReplyDelete