Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja nilishindwa kuwaletea habari na burudani kupitia blog yenu ya KARIBU NYUMBANI kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Nawashukuru kwa uvumilivu wenu na karibuni tena nyumbani.
T U L I K O T O K A N I M B A L I
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
53 minutes ago
Ni furaha umerudi nawe karibu tena
ReplyDelete