Ni Tanzania tu ambapo mdada anajua kabisa tarehe ya kuvalishwa pete ya uchumba (engagement), anashona nguo, na anakwenda saluni, halafu mwanaume mchumbiaji anapokuja na shamrashamra zote siku ya tukio, eti akitoa pete kumvalisha mdada huyo anajifanya kushangaa sana (SURPRISED)! Kuna mmoja alizimia kabisaa wakati ni yeye ndiye aliyetafuta mpaka sonara! TUNAISHI KWA KUIGIZA!..😂😂😂😂
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
36 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako