Timu ya soka wanawake ya Ujerumani ilitinga fainali na kucheza na Sweden hapo jana usiku saa za Afrika Mashariki katika uwanja wa Maraccana huko Rio Brazil. Timu hiyo ilishinda kwa magoli 2 kwa 1 na hiyo kutwaa medali za dhahabu katika mashindano hayo
Timu ya sweden wakati wa Upokeaji Medali za silver
Timu ya Ujerumani wakati wa upokeaji wa Medali za Dhahabu
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
14 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako