Asubuhi ya leo kumetokea mlipuko wa Bomu la kujitoa mhanga huko Ubelgiji katka Uwanja wa Ndege cha Zaventem, Brussels na Kituo cha treni za Metro na inasemekana watu 30 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 180 kujeruhiwa. Kikundi kimoja cha kigaidi kimejitangaza kuhusika na milipuko hiyo.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
4 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako