Haijalishi ni kutoka wapi au rangi gani, linapofikia suala la kutafuta kipato kila mmoja ana namna zake. We kaa tu nyumbani na vyeti vyako ukisubiri uajiriwe ofisini. Wenzio wamekuja na sasa mahindi wanachoma, baadae utatafuta hata hizi kazi za kuchoma mahindi ukose.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako