Tazama namna ushirikina unavyoleta ukatili dhidi ya ubinadamu.
Friday, 31 October 2014
Thursday, 30 October 2014
TUCHAPE KAZI ILA KWA UMAKINI
Chombo hiki kinachosaidia kuingiza kipato hakika hakitumiki vizuri. Kama kweli wahitaji kipato endelevu, jali na tunza pia kifaa cha kazi.
SIMANZI ZAMBIA
Ni juzi tu wamesherehekea miaka 50 ya Uhuru wa nchi yao, ila jana Zambia imempoteza Rais wao Mhe. Sata huko London alipokuwa akipata matibabu. Habari zinasema Makamu wa Rais Mhe. Dk, Guy Scottambaye ni wa asili ya Kizungu ndio anashika madaraka mpaka uchaguzi utakapofanyika tena. RIP Rais wa Zambia.
Mhe. Dk. Guy Scott
Mhe. Dk. Guy Scott
UTANI MWINGINE WAHITAJI UJASIRI
Watoto wana namna nyingi za kufanya matani ila matani mengine yahitaji ujasiri mkubwa kuyakubali . Hapa huyu mtoto akiamua kufanya majaribio ya matumizi ya hilo panga, anafungua bucha. Tuwafundishe watoto wetu matani mazuri na yafaayo katika kujijenga binafsi na jamii. Ila pia tuwakumbushe matani mengine ambayo yanaweza kuleta madhara.
UBUNIFU
Katika kuboresha maisha na kuleta mvuto zaidi kimazingira, ubunifu ni muhimu.
Ubunifu katika michezo
Ubunifu katika michezo
Tuesday, 28 October 2014
MISAADA ISIVYOTUMIKA VIZURI
Hivi kweli tuliomba msaada wa net kujikinga na malaria au kuzikinga mboga zetu na malaria au wanyama/ndefu/wadudu waharibifu?
Monday, 27 October 2014
KUMEKUCHA TUKAWAJIBIKE
Tulikotoka ni mbali , pengine asubuhi hii ndo unapasha ugali moto ule uwahi majukumu yako kama ni shule au kazini. Yote maisha, twende tukawajibike.
Tukauze mitumba sasa Gulioni
Nawe Boda boda usijali, hii ni zaidi ya Mshkaki
Mavuno ya mshambani nayo
Tukauze mitumba sasa Gulioni
Nawe Boda boda usijali, hii ni zaidi ya Mshkaki
Mavuno ya mshambani nayo
Sunday, 26 October 2014
Subscribe to:
Comments (Atom)















