Kutokana na dunia ya leo ilivyo, kwa sasa kila kitu chahitaji ulinzi, Mali zahitaji kulindwa, afya nazo zahitaji kutunzwa. Hapa twaona swahiba kaamua kufunga ndala zake kwa kofuli ili kuzilinda. Lakini ni kweli amezipa usalama sahihi???? Hiyo yatosha watu kutoziiba au hata atakayeziiba kushindwa kuzitumia kwani????
Na ujumbe mwingine wahusisha ulinzi wa afya zetu.
BIL 5.7 KUKAMILISHA UJENZI SHULE MBILI SIHA-KILIMANJARO
35 minutes ago
Uujumbe wenye fumbo ndani yake
ReplyDeleteBonge la fumbo!!
ReplyDelete