Mie binafsi nawapongeza wasanii wa muziki, Diamond Platnumz na AliKiba kwa kutoa msaada wa tsh 41milioni kwa ‘GSM Foundation’ ili kusaidia jitihada za taasisi hiyo za upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi.
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB 'yamwaga' Sh milioni 150
29 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako