Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo amezuiwa na Polisi kufanya kikao cha ndani na wanachama cha chama hicho Mbarali mkoani Mbeya.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo amezuiwa na Polisi kufanya kikao cha ndani na wanachama cha chama hicho Mbarali mkoani Mbeya.
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB 'yamwaga' Sh milioni 150
30 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako