Ni msimu wa machungwa na machenza sasa. Nyumbani ni furaha ya kupata juice asilia (Natural/fresh juice). Machungwa na machenza hulimwa kwa wingi wilayani Muheza Tanga. Tujitahidi kula matunda haya mazuri kwa afya yetu. Ushauri huu hutolewa kwa lugha ya kiingereza "A fruit a day, keeps the doctor away", ni namna nyingine ya kusema matunda hutupatia afya na kutuepusha na maradhi.
No comments:
Post a Comment
Maoni yako