Mkojo wa ng'ombe unapotumika badala ya maji Wengine hapa wanayachezea maji Ukame unaosababishwa na kukosekana kwa mvua ya kutosha kumefanya mito,vijito,visima na mifereji kukauka. Maji yamekuwa shida na hivyo kuwafanya wenzetu watafute mbinu mbadala ya kupata kimiminika kama maji.
No comments:
Post a Comment
Maoni yako