KARIBU NYUMBANI

"Home Sweet Home"

Friday, 1 January 2010

HERI YA MWAKA MPYA 2010

›
Nawatakieni kheri ya mwaka mpya 2010 wadau waheshimika. Nawaombeeni ili mwaka huu tuuanze vyema na tuendelee kujitahidi katika kila jema tuw...
5 comments:
Saturday, 19 December 2009

MFULULIZO WA MARAHA KUELEKEA XMAS NA MWAKA MPYA

›
Ndafu wa nguvu Kumbi zilizopambwa zikapambika Mwanamama Tshalla Muana stejini JB Mpiana na jopo zima
5 comments:
Saturday, 19 September 2009

SAFARINI

›
Kumradhi wadau, nilipata safari ya ghafla kuelekea Kijijini kwa Bibi na Babu kuhani msiba wa Baba yangu mzazi, na mtandao huku hakuna kabisa...
7 comments:
Wednesday, 2 September 2009

JANA, LEO,je na kesho tena iwe hivi hivi?

›
6 comments:
Tuesday, 1 September 2009

KOMOA UKOMOLEWE ! au BILA BILA!

›
2 comments:

KARIBU DAR ES SALAAM ZOO

›
Watanzania wenzangu,kumbe kuna fahari yetu imejisimika ndani ya DAR ES SALAAM ZOO, tujongee tukajionee wenyewe kama kwenda Serengeti au Ngor...
Monday, 31 August 2009

MASANJA WA ORIJINO KOMEDI KWENYE BLOG

›
Masanja nae kaibuka kwenye blog na amekuja na kitu kinaenda kwa jina la www.mkandamizaji.blogspot.com Karibuni wadau kwenye kiwanja kipya hi...
5 comments:

MWISHO WA MWEZI

›
Mwisho wa mwezi umewadia, tunapoganga yaliyopita,pengine picha hii inaweza kukukumbusha mengi. Zingatia kusamehe waliochukizwa na mafanikio ...
1 comment:
Sunday, 30 August 2009

WADAU NAWATAKIENI JUMAPILI NJEMA

›
"Bila msaada wa Bwana ,kazi zenu ni bure....." Tujitahidi kumweka Mungu mbele katika yote nae atatujalia yale tuyahitajio. Ni siku...
2 comments:
Saturday, 29 August 2009

NOTI MPYA YA SHILINGI 2,000

›
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa noti mpya za Sh2,000 ambazo zitatumika sanjari na zilizopo kwenye mzunguko kwa sasa. Gavana wa BoT, Profe...
2 comments:
‹
›
Home
View web version
My photo
Nicky Mwangoka
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
View my complete profile
Powered by Blogger.